Psalms 73:9-11


9 aVinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,
nazo ndimi zao humiliki duniani.

10 Kwa hiyo watu wao huwageukia
na kunywa maji tele.
Au: na kupokea yote wasemayo.


11 cWanasema, “Mungu awezaje kujua?
Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

Copyright information for SwhKC